Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Musa akamwambia baba mkwe wake: “Ni kwa sababu watu wanaendelea kuja kwangu kutafuta mwongozo kutoka kwa Mungu. 16 Wakiwa na kesi, wanaileta kwangu, nami lazima niamue kesi yao, na kuwajulisha maamuzi ya Mungu wa kweli na sheria zake.”+

  • Hesabu 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Waisraeli walipokuwa nyikani, walimkuta mtu fulani akiokota kuni siku ya Sabato.+

  • Hesabu 15:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Wakamtia kifungoni+ kwa sababu sheria haikusema waziwazi mtu huyo afanyiwe nini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki