Kutoka 18:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Musa akamwambia baba mkwe wake: “Ni kwa sababu watu wanaendelea kuja kwangu kutafuta mwongozo kutoka kwa Mungu. 16 Wakiwa na kesi, wanaileta kwangu, nami lazima niamue kesi yao, na kuwajulisha maamuzi ya Mungu wa kweli na sheria zake.”+ Hesabu 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Waisraeli walipokuwa nyikani, walimkuta mtu fulani akiokota kuni siku ya Sabato.+ Hesabu 15:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Wakamtia kifungoni+ kwa sababu sheria haikusema waziwazi mtu huyo afanyiwe nini.
15 Musa akamwambia baba mkwe wake: “Ni kwa sababu watu wanaendelea kuja kwangu kutafuta mwongozo kutoka kwa Mungu. 16 Wakiwa na kesi, wanaileta kwangu, nami lazima niamue kesi yao, na kuwajulisha maamuzi ya Mungu wa kweli na sheria zake.”+