Mambo ya Walawi 24:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwana huyo wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulikufuru lile Jina* na kulitukana.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Kumbe mama yake alikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani. 12 Kwa hiyo wakamtia kifungoni mpaka walipojulishwa uamuzi wa Yehova.+
11 Mwana huyo wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulikufuru lile Jina* na kulitukana.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Kumbe mama yake alikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani. 12 Kwa hiyo wakamtia kifungoni mpaka walipojulishwa uamuzi wa Yehova.+