Mambo ya Walawi 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye yule mwana wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulitukana lile Jina+ na kulilaani.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Basi jina la mama yake lilikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani.
11 Naye yule mwana wa mwanamke Mwisraeli akaanza kulitukana lile Jina+ na kulilaani.+ Basi wakamleta kwa Musa.+ Basi jina la mama yake lilikuwa Shelomithi, binti ya Dibri wa kabila la Dani.