Hesabu 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtawapa Walawi jumla ya majiji 48 pamoja na malisho yake.+ Yoshua 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mawili,+ Manase na Efraimu;+ nao hawakuwagawia Walawi urithi nchini, isipokuwa majiji+ ya kuishi na malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+
4 Wazao wa Yosefu walihesabiwa kuwa makabila mawili,+ Manase na Efraimu;+ nao hawakuwagawia Walawi urithi nchini, isipokuwa majiji+ ya kuishi na malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+