Mambo ya Walawi 25:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Unapaswa kumtendea kama kibarua,+ kama mhamiaji. Atakutumikia mpaka wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50. Mambo ya Walawi 25:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Usimtendee kwa ukatili,+ ni lazima umwogope Mungu wako.+ Wakolosai 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa njia ya uadilifu na haki, mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+
40 Unapaswa kumtendea kama kibarua,+ kama mhamiaji. Atakutumikia mpaka wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50.
4 Enyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa njia ya uadilifu na haki, mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+