Isaya 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni, jisafisheni;+Ondoeni matendo yenu maovu mbele za macho yangu;Acheni kutenda mabaya.+ Yeremia 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakukubali nidhamu yoyote;+Upanga wenu wenyewe uliwaangamiza manabii wenu,+Kama simba anayeshambulia. Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+
30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakukubali nidhamu yoyote;+Upanga wenu wenyewe uliwaangamiza manabii wenu,+Kama simba anayeshambulia.
3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+