Isaya 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni wapi mtakapopigwa tena kwa kuwa mnazidi kuasi?+ Kichwa chote ni kigonjwa,Na moyo wote ni mgonjwa.+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+ Sefania 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Halijatii sauti yoyote;+ halijakubali nidhamu yoyote.+ Halijamtumaini Yehova;+ halijamkaribia Mungu wake.+
5 Ni wapi mtakapopigwa tena kwa kuwa mnazidi kuasi?+ Kichwa chote ni kigonjwa,Na moyo wote ni mgonjwa.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+
2 Halijatii sauti yoyote;+ halijakubali nidhamu yoyote.+ Halijamtumaini Yehova;+ halijamkaribia Mungu wake.+