Zaburi 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana unachukia nidhamu,*Nawe unaendelea kuyageuzia mgongo maneno yangu.*+ Isaya 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni wapi mtakapopigwa tena kwa kuwa mnazidi kuasi?+ Kichwa chote ni kigonjwa,Na moyo wote ni mgonjwa.+ Yeremia 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+
5 Ni wapi mtakapopigwa tena kwa kuwa mnazidi kuasi?+ Kichwa chote ni kigonjwa,Na moyo wote ni mgonjwa.+
3 Ee Yehova, je, macho yako hayatafuti uaminifu?+ Uliwapiga, lakini hawakusikia.* Uliwaangamiza, lakini walikataa kukubali nidhamu.+ Walizifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba,+Nao wakakataa kugeuka.+