Yeremia 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nilisema nawe ulipokuwa salama. Lakini ulisema, ‘Sitatii.’+ Hii imekuwa njia yako tangu ujana wako,Kwa maana hujaitii sauti yangu.+ Yeremia 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nao wakaingia na kuimiliki, lakini hawakuitii sauti yako wala kutembea katika sheria yako. Hawakufanya lolote kati ya mambo uliyowaamuru wafanye, hivi kwamba ukawaletea msiba huu wote.+
21 Nilisema nawe ulipokuwa salama. Lakini ulisema, ‘Sitatii.’+ Hii imekuwa njia yako tangu ujana wako,Kwa maana hujaitii sauti yangu.+
23 Nao wakaingia na kuimiliki, lakini hawakuitii sauti yako wala kutembea katika sheria yako. Hawakufanya lolote kati ya mambo uliyowaamuru wafanye, hivi kwamba ukawaletea msiba huu wote.+