Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo, Waisraeli hawawezi kusimama dhidi ya maadui wao. Watageuka na kuwakimbia maadui wao, kwa sababu wanapaswa kuangamizwa. Sitakuwa pamoja nanyi tena msipoharibu kitu mlicho nacho kinachopaswa kuharibiwa.+

  • Waamuzi 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+

  • Yeremia 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata kama mngeliangamiza jeshi lote la Wakaldayo wanaopigana nanyi na wabaki tu wale waliojeruhiwa, bado wangetoka katika mahema yao na kuliteketeza jiji hili kwa moto.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki