Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa.

  • Mambo ya Walawi 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Hii ndiyo sheria inayomhusu mtu mwenye ukoma ambayo inapaswa kufuatwa siku ambayo utakaso wake unathibitishwa, anapopelekwa kwa kuhani.+

  • Mambo ya Walawi 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kuhani huyo atamchukua yule mwanakondoo dume na kumtoa kuwa dhabihu ya hatia+ pamoja na ile logi moja ya mafuta, naye atavitikisa kwenda mbele na nyuma vikiwa toleo la kutikiswa mbele za Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 19:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Mwanamume akifanya ngono na kijakazi anayechumbiwa na mwanamume mwingine, na iwe kwamba kijakazi huyo hajakombolewa wala kuwekwa huru, wanapaswa kuadhibiwa. Hata hivyo, hawapaswi kuuawa, kwa sababu kijakazi huyo hakuwa amewekwa huru. 21 Mwanamume huyo anapaswa kumletea Yehova dhabihu yake ya hatia kwenye mlango wa hema la mkutano, kondoo dume wa dhabihu ya hatia.+

  • Hesabu 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni lazima ajitenge tena kwa ajili ya Yehova na kuanza upya siku za Unadhiri wake, naye ataleta mwanakondoo dume wa mwaka mmoja kuwa dhabihu ya hatia. Hata hivyo, zile siku za awali hazitahesabiwa kwa sababu aliuchafua Unadhiri wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki