6 Naye atamletea kuhani kondoo dume asiye na kasoro kutoka kundini ili amtolee Yehova dhabihu ya hatia kulingana na thamani iliyokadiriwa ya dhabihu ya hatia.+ 7 Kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova, naye atasamehewa kosa lolote ambalo lilifanya awe na hatia.”+