Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Mtu akikosa uaminifu kwa kutenda dhambi bila kukusudia kwa kuvunja sheria kuhusu vitu vitakatifu vya Yehova,+ anapaswa kumletea Yehova kondoo dume asiye na kasoro kutoka kundini ili awe dhabihu ya hatia;+ thamani yake itapimwa kwa shekeli za fedha* kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+

  • Mambo ya Walawi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa.

  • Isaya 53:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini yalikuwa mapenzi ya Yehova* kumponda, naye aliruhusu awe mgonjwa.

      Ukitoa uhai wake* uwe dhabihu ya hatia,+

      Atauona uzao wake,* ataongeza siku zake,+

      Na kupitia kwake mapenzi* ya Yehova yatafanikiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki