-
Mambo ya Walawi 10:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 “Kwa nini hamkula dhabihu ya dhambi mkiwa mahali patakatifu,+ wakati ni dhabihu takatifu kabisa ambayo amewapa ili mbebe dhambi za Waisraeli wote na kuwatolea dhabihu ya kufunika dhambi zao mbele za Yehova? 18 Sasa angalieni! Damu yake haijaletwa mahali patakatifu.+ Mlipaswa kula dhabihu hiyo mahali patakatifu, kama nilivyoamriwa.”
-