Mambo ya Walawi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Kwa nini hamkula lile toleo la dhambi katika mahali palipo patakatifu,+ kwa kuwa ni kitu kitakatifu zaidi naye amewapa ninyi mpate kujibu kwa ajili ya kosa la kusanyiko ili kufanya upatanisho kwa ajili yao mbele za Yehova?+ Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:17 w11 2/15 12 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:17 Mnara wa Mlinzi,2/15/2011, uku. 12
17 “Kwa nini hamkula lile toleo la dhambi katika mahali palipo patakatifu,+ kwa kuwa ni kitu kitakatifu zaidi naye amewapa ninyi mpate kujibu kwa ajili ya kosa la kusanyiko ili kufanya upatanisho kwa ajili yao mbele za Yehova?+