Mambo ya Walawi 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano. Mambo ya Walawi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Litaliwa na kila mwanamume kati ya makuhani.+ Katika mahali patakatifu litaliwa. Ni kitu kitakatifu zaidi.+ Ezekieli 44:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia—hao ndio watakaokula hayo.+ Na kila kitu kilichotolewa katika Israeli—kitakuwa chao.+
26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano.
6 Litaliwa na kila mwanamume kati ya makuhani.+ Katika mahali patakatifu litaliwa. Ni kitu kitakatifu zaidi.+
29 Toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia—hao ndio watakaokula hayo.+ Na kila kitu kilichotolewa katika Israeli—kitakuwa chao.+