Mambo ya Walawi 6:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “‘Kila mwanamume kuhani ataila.+ Ni takatifu kabisa.+ 30 Lakini kila dhabihu ya dhambi ambayo kiasi fulani cha damu yake kimeletwa mahali patakatifu kwenye hema la mkutano ili kufunika dhambi, haitaliwa.+ Itateketezwa.
29 “‘Kila mwanamume kuhani ataila.+ Ni takatifu kabisa.+ 30 Lakini kila dhabihu ya dhambi ambayo kiasi fulani cha damu yake kimeletwa mahali patakatifu kwenye hema la mkutano ili kufunika dhambi, haitaliwa.+ Itateketezwa.