Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.

  • Mambo ya Walawi 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kila mzao wa kiume wa Haruni ataila.+ Ni posho yao ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayochomwa kwa moto.+ Chochote kinachogusa matoleo hayo kitakuwa kitakatifu.’”

  • Mambo ya Walawi 21:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mtu yeyote wa uzao wa* kuhani Haruni ambaye ana kasoro hatakaribia mahali patakatifu ili kutoa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto. Kwa sababu ana kasoro, hapaswi kupakaribia ili kutoa mkate wa Mungu wake. 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu kabisa+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+

  • Hesabu 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtavila vitu hivyo mahali patakatifu zaidi.+ Kila mwanamume anaweza kuvila. Vitakuwa vitu vitakatifu kwenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki