Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Haruni na wanawe wataila+ nyama ya kondoo dume huyo na mikate iliyo katika kikapu kwenye mlango wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.

  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Haruni na wanawe watatumia unga unaobaki+ kuoka mikate isiyo na chachu, nao watakula mikate hiyo mahali patakatifu. Wataila katika ua wa hema la mkutano.+

  • Mambo ya Walawi 10:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe waliobaki, Eleazari na Ithamari: “Chukueni toleo la nafaka lililobaki kutoka katika dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, mle toleo hilo karibu na madhabahu kama mkate usio na chachu,+ kwa sababu ni toleo takatifu kabisa.+ 13 Mtakula toleo hilo mahali patakatifu,+ kwa sababu ni posho yenu na posho ya wana wenu kutoka kwenye dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki