-
Mambo ya Walawi 10:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe waliobaki, Eleazari na Ithamari: “Chukueni toleo la nafaka lililobaki kutoka katika dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, mle toleo hilo karibu na madhabahu kama mkate usio na chachu,+ kwa sababu ni toleo takatifu kabisa.+ 13 Mtakula toleo hilo mahali patakatifu,+ kwa sababu ni posho yenu na posho ya wana wenu kutoka kwenye dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.
-