Mambo ya Walawi 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu. Mambo ya Walawi 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Haruni na wanawe watatumia unga unaobaki+ kuoka mikate isiyo na chachu, nao watakula mikate hiyo mahali patakatifu. Wataila katika ua wa hema la mkutano.+
14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.
16 Haruni na wanawe watatumia unga unaobaki+ kuoka mikate isiyo na chachu, nao watakula mikate hiyo mahali patakatifu. Wataila katika ua wa hema la mkutano.+