12 Ndipo Musa akasema na Haruni na wanawe waliobaki, yaani, Eleazari na Ithamari: “Chukueni toleo la nafaka+ lililobaki kutoka katika matoleo ya Yehova yaliyotolewa kwa njia ya moto na mle pasipo kutiwa chachu karibu na madhabahu, kwa sababu hilo ni kitu kitakatifu zaidi.+