Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kila mzao wa kiume wa Haruni ataila.+ Ni posho yao ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayochomwa kwa moto.+ Chochote kinachogusa matoleo hayo kitakuwa kitakatifu.’”

  • Mambo ya Walawi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa.

  • Mambo ya Walawi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kila mwanamume kuhani ataila,+ nayo inapaswa kuliwa mahali patakatifu. Ni dhabihu takatifu kabisa.+

  • Mambo ya Walawi 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha atamchinjia mwanakondoo huyo mahali ambapo dhabihu za dhambi na dhabihu za kuteketezwa huchinjwa,+ mahali patakatifu, kwa sababu, sawa na dhabihu ya dhambi, dhabihu ya hatia ni ya kuhani.+ Ni dhabihu takatifu kabisa.+

  • Mambo ya Walawi 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu kabisa+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki