18 Kila mzao wa kiume wa Haruni ataila.+ Ni posho yao ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayochomwa kwa moto.+ Chochote kinachogusa matoleo hayo kitakuwa kitakatifu.’”
13 Kisha atamchinjia mwanakondoo huyo mahali ambapo dhabihu za dhambi na dhabihu za kuteketezwa huchinjwa,+ mahali patakatifu, kwa sababu, sawa na dhabihu ya dhambi, dhabihu ya hatia ni ya kuhani.+ Ni dhabihu takatifu kabisa.+