28 Nawe umweke Yoshua+ kuwa kiongozi, umtie moyo na kumwimarisha, kwa sababu yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa kuvuka+ na kuwawezesha kuirithi nchi utakayoiona.’
14 Kisha Yehova akamwambia Musa, “Tazama! Wakati wako wa kufa umekaribia.+ Mwite Yoshua, nanyi mwende* kwenye hema la mkutano, ili nimweke yeye kuwa kiongozi.”+ Basi Musa na Yoshua wakaenda na kusimama kwenye hema la mkutano.
23 Kisha akamweka* Yoshua+ mwana wa Nuni kuwa kiongozi na kusema: “Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaingiza Waisraeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.”