Mambo ya Walawi 23:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtahesabu siku 50+ mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, kisha mtamtolea Yehova toleo la nafaka iliyotoka kuvunwa.+ Mambo ya Walawi 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia mnapaswa kumtoa mwanambuzi mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na wanakondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu ya ushirika.+
16 Mtahesabu siku 50+ mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, kisha mtamtolea Yehova toleo la nafaka iliyotoka kuvunwa.+
19 Pia mnapaswa kumtoa mwanambuzi mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na wanakondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu ya ushirika.+