Hesabu 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende na wanaume hawa. Usiwalaani watu hao, kwa maana wamebarikiwa.”+ 2 Petro 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wameiacha njia iliyonyooka, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+ Ufunuo 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaofuata fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.*+
12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende na wanaume hawa. Usiwalaani watu hao, kwa maana wamebarikiwa.”+
15 Wameiacha njia iliyonyooka, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+
14 “‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaofuata fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.*+