Hesabu 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi wazee wa Moabu na wazee wa Midiani wakachukua malipo ya uaguzi* na kwenda kumwona Balaamu,+ wakamwambia maneno ya Balaki. Nehemia 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa maana hawakuwapokea Waisraeli kwa mkate na maji, badala yake walimkodi Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+
7 Basi wazee wa Moabu na wazee wa Midiani wakachukua malipo ya uaguzi* na kwenda kumwona Balaamu,+ wakamwambia maneno ya Balaki.
2 kwa maana hawakuwapokea Waisraeli kwa mkate na maji, badala yake walimkodi Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+