Hesabu 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninawezaje kuwalaani watu ambao Mungu hajawalaani? Ninawezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+ Hesabu 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Balaki akamkasirikia sana Balaamu. Akapiga makofi kwa dharau na kumwambia Balaamu: “Nilikuita uwalaani maadui wangu,+ badala yake umewabariki mara tatu.
8 Ninawezaje kuwalaani watu ambao Mungu hajawalaani? Ninawezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+
10 Ndipo Balaki akamkasirikia sana Balaamu. Akapiga makofi kwa dharau na kumwambia Balaamu: “Nilikuita uwalaani maadui wangu,+ badala yake umewabariki mara tatu.