Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Balaamu akamwambia Mungu wa kweli: “Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, amenitumia ujumbe akisema, 11 ‘Watu wanaotoka Misri wamejaa kila mahali duniani.* Sasa njoo uwalaani kwa niaba yangu.+ Huenda nikapigana nao na kuwafukuza.’”

  • Hesabu 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Balaki akamwambia Balaamu: “Kwa nini umenitendea hivi? Nilikuleta ili uwalaani maadui wangu, lakini badala yake umewabariki tu.”+

  • Nehemia 13:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuwapokea Waisraeli kwa mkate na maji, badala yake walimkodi Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki