Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Balaki akamkasirikia sana Balaamu. Akapiga makofi kwa dharau na kumwambia Balaamu: “Nilikuita uwalaani maadui wangu,+ badala yake umewabariki mara tatu.

  • Yoshua 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini sikumsikiliza Balaamu.+ Basi akawabariki ninyi tena na tena,+ nami nikawaokoa kutoka mikononi mwake.+

  • Nehemia 13:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuwapokea Waisraeli kwa mkate na maji, badala yake walimkodi Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki