Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 22:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Musa alikuwa ameipa nusu ya kabila la Manase urithi kule Bashani,+ na Yoshua akaipa nusu iliyobaki ya kabila hilo nchi upande wa magharibi wa Yordani,+ pamoja na ndugu zao. Zaidi ya hilo, Yoshua alipowaambia warudi katika mahema yao, aliwabariki 8 na kuwaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi, mifugo mingi sana, fedha na dhahabu, shaba na chuma, na mavazi mengi sana.+ Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua+ kutoka kwa maadui wenu.”

  • 1 Samweli 30:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ni nani atakayekubaliana nanyi katika jambo hili? Fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani litakuwa sawa na fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu lilelile.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki