-
Yoshua 22:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Musa alikuwa ameipa nusu ya kabila la Manase urithi kule Bashani,+ na Yoshua akaipa nusu iliyobaki ya kabila hilo nchi upande wa magharibi wa Yordani,+ pamoja na ndugu zao. Zaidi ya hilo, Yoshua alipowaambia warudi katika mahema yao, aliwabariki 8 na kuwaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi, mifugo mingi sana, fedha na dhahabu, shaba na chuma, na mavazi mengi sana.+ Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua+ kutoka kwa maadui wenu.”
-