Hesabu 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Gaweni nyara hizo katika mafungu mawili, ili wanajeshi walioenda vitani wapate fungu moja na Waisraeli wengine fungu lingine.+ Yoshua 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na kuwaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi, mifugo mingi sana, fedha na dhahabu, shaba na chuma, na mavazi mengi sana.+ Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua+ kutoka kwa maadui wenu.” Zaburi 68:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wafalme na majeshi yao wanakimbia,+ wanakimbia! Mwanamke anayebaki nyumbani anagawiwa nyara.+
27 Gaweni nyara hizo katika mafungu mawili, ili wanajeshi walioenda vitani wapate fungu moja na Waisraeli wengine fungu lingine.+
8 na kuwaambia: “Rudini katika mahema yenu mkiwa na utajiri mwingi, mifugo mingi sana, fedha na dhahabu, shaba na chuma, na mavazi mengi sana.+ Gawaneni na ndugu zenu nyara mlizochukua+ kutoka kwa maadui wenu.”