Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:25-27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Tena Yehova akamwambia Musa hivi: 26 “Wewe pamoja na kuhani Eleazari na viongozi wa koo* za Waisraeli hesabuni nyara zote, kutia ndani wanadamu na wanyama waliotekwa. 27 Gaweni nyara hizo katika mafungu mawili, ili wanajeshi walioenda vitani wapate fungu moja na Waisraeli wengine fungu lingine.+

  • Yoshua 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni siku hiyo, siku ambayo Yehova aliwashinda kabisa Waamori mbele ya Waisraeli, ndipo Yoshua alipomwambia hivi Yehova mbele ya Waisraeli:

      “Jua, simama tuli+ juu ya Gibeoni,+

      Na mwezi, juu ya Bonde la* Aiyaloni.”

  • Yoshua 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wakati huo, wale wafalme watano walikimbia na kujificha pangoni kule Makeda.+

  • Yoshua 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hawa ndio wafalme ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi wa Yordani, kuanzia Baal-gadi+ katika Bonde la Lebanoni+ hadi Mlima Halaki,+ unaopanda hadi Seiri,+ halafu Yoshua akayapa makabila ya Israeli nchi yao ili waimiliki na kugawana kulingana na makabila yao,+

  • Waamuzi 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wafalme walikuja, wakapigana vita;

      Wafalme wa Kanaani wakapigana+

      Huko Taanaki, kando ya maji ya Megido.+

      Hawakuchukua fedha kama nyara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki