Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Gaweni nyara hizo katika mafungu mawili, ili wanajeshi walioenda vitani wapate fungu moja na Waisraeli wengine fungu lingine.+

  • 1 Samweli 30:23-25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Hata hivyo, Daudi akasema: “Msifanye hivyo ndugu zangu kuhusiana na vitu ambavyo Yehova ametupatia. Alitulinda na kulitia mikononi mwetu kundi la wavamizi lililokuja kutuvamia.+ 24 Ni nani atakayekubaliana nanyi katika jambo hili? Fungu la yule aliyeshuka kwenda vitani litakuwa sawa na fungu la yule aliyeketi kando ya mizigo.+ Wote watapata fungu lilelile.”+ 25 Na kuanzia siku hiyo na kuendelea, akalifanya jambo hilo kuwa sheria na amri katika Israeli mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki