1 Samweli 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini Daudi akasema: “Ndugu zangu, msifanye hivyo na vitu ambavyo Yehova ametupa sisi,+ kwa kuwa alitulinda+ na kukitia mkononi mwetu kile kikundi cha waporaji kilichokuja juu yetu.+
23 Lakini Daudi akasema: “Ndugu zangu, msifanye hivyo na vitu ambavyo Yehova ametupa sisi,+ kwa kuwa alitulinda+ na kukitia mkononi mwetu kile kikundi cha waporaji kilichokuja juu yetu.+