1 Samweli 30:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Daudi akaanza kumuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nikifuatilie kikundi hiki cha waporaji? Je, nitawafikia?”+ Ndipo akamwambia: “Nenda, uwafuatilie, kwa maana bila shaka utawafikia, nawe bila shaka utaleta ukombozi.”+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
8 Daudi akaanza kumuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nikifuatilie kikundi hiki cha waporaji? Je, nitawafikia?”+ Ndipo akamwambia: “Nenda, uwafuatilie, kwa maana bila shaka utawafikia, nawe bila shaka utaleta ukombozi.”+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+