Hesabu 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Hutakuwa na urithi katika nchi yao, wala hutakuwa na sehemu ya* ardhi miongoni mwao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako miongoni mwa Waisraeli.+ Hesabu 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtamtolea Yehova michango yote kutoka katika zawadi bora zaidi mnazopokea,+ ambazo ni takatifu.’
20 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Hutakuwa na urithi katika nchi yao, wala hutakuwa na sehemu ya* ardhi miongoni mwao.+ Mimi ni fungu lako na urithi wako miongoni mwa Waisraeli.+