Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:62, 63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Wanaume wote wenye umri wa kuanzia mwezi mmoja na zaidi walioandikishwa walikuwa 23,000.+ Hawakuandikishwa pamoja na Waisraeli wengine,+ kwa sababu hawakupaswa kupewa urithi miongoni mwa Waisraeli.+

      63 Hao ndio walioandikishwa na Musa na kuhani Eleazari walipowaandikisha Waisraeli katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani huko Yeriko.

  • Kumbukumbu la Torati 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndio maana Lawi hana fungu wala urithi pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake, kama Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na msimpuuze Mlawi yeyote aliye ndani ya majiji yenu,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+

  • Yoshua 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Musa alikuwa tayari ameyapa makabila mawili na nusu urithi ng’ambo ya* Yordani,+ lakini hakuwapa Walawi urithi kati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki