18 “Kisha nikawaamuru hivi: ‘Yehova Mungu wenu amewapa nchi hii mwimiliki. Wanaume wenu wote mashujaa watachukua silaha na kuvuka mbele ya ndugu zenu, Waisraeli.+
12 Na watu wa kabila la Rubeni, Gadi, na nusu ya kabila la Manase wakavuka wakiwa wamejipanga kivita+ na kuwatangulia Waisraeli wengine, kama Musa alivyokuwa amewaagiza.+