Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Baadaye wakaja tena kwake na kumwambia: “Turuhusu tujenge hapa mazizi ya mawe kwa ajili ya mifugo yetu na majiji kwa ajili ya watoto wetu.

  • Hesabu 32:34-38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Wana wa Gadi wakajenga* Diboni,+ Atarothi,+ Aroeri,+ 35 Atroth-shofani, Yazeri,+ Yogbeha,+ 36 Beth-nimra,+ Beth-harani,+ majiji yenye ngome, na mazizi ya mawe kwa ajili ya mifugo. 37 Nao wana wa Rubeni wakajenga Heshboni,+ Eleale,+ Kiriathaimu,+ 38 Nebo,+ na Baal-meoni+—majina ya majiji hayo yalibadilishwa—na Sibma; nao wakaanza kuyapa majina mapya majiji waliyojenga upya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki