-
Hesabu 32:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Baadaye wakaja tena kwake na kumwambia: “Turuhusu tujenge hapa mazizi ya mawe kwa ajili ya mifugo yetu na majiji kwa ajili ya watoto wetu.
-
-
Hesabu 32:34-38Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
34 Wana wa Gadi wakajenga* Diboni,+ Atarothi,+ Aroeri,+ 35 Atroth-shofani, Yazeri,+ Yogbeha,+ 36 Beth-nimra,+ Beth-harani,+ majiji yenye ngome, na mazizi ya mawe kwa ajili ya mifugo. 37 Nao wana wa Rubeni wakajenga Heshboni,+ Eleale,+ Kiriathaimu,+ 38 Nebo,+ na Baal-meoni+—majina ya majiji hayo yalibadilishwa—na Sibma; nao wakaanza kuyapa majina mapya majiji waliyojenga upya.
-