Hesabu 26:53, 54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 “Watu hao wanapaswa kugawiwa urithi wa nchi kulingana na orodha ya majina.*+ 54 Unapaswa kuyapa makundi makubwa urithi mkubwa, na makundi madogo urithi mdogo.+ Kila kundi linapaswa kupewa urithi wake kulingana na idadi ya watu walioorodheshwa.
53 “Watu hao wanapaswa kugawiwa urithi wa nchi kulingana na orodha ya majina.*+ 54 Unapaswa kuyapa makundi makubwa urithi mkubwa, na makundi madogo urithi mdogo.+ Kila kundi linapaswa kupewa urithi wake kulingana na idadi ya watu walioorodheshwa.