5 Sasa wana wako wawili uliowazaa katika nchi ya Misri kabla sijaja kwako nchini Misri ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama Rubeni na Simeoni walivyo wangu.+
16Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+