Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 46:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Katika nchi ya Misri, Asenathi+ binti ya Potifera kuhani wa Oni,* alimzalia Yosefu wana hawa: Manase+ na Efraimu.+

  • Mwanzo 48:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa wana wako wawili uliowazaa katika nchi ya Misri kabla sijaja kwako nchini Misri ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama Rubeni na Simeoni walivyo wangu.+

  • Yoshua 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na nchi ambayo wazao wa Yosefu+ waligawiwa*+ ilianzia Yordani huko Yeriko hadi kwenye vijito vilivyo upande wa mashariki wa Yeriko, na kupitia nyikani hadi Yeriko katika eneo lenye milima la Betheli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki