Yoshua 17:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha watu wa kabila la Manase,+ mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ wakagawiwa nchi yao kwa kura.+ Makiri,+ mzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa amepewa nchi ya Gileadi na Bashani+ kwa sababu alikuwa mwanajeshi hodari.
17 Kisha watu wa kabila la Manase,+ mzaliwa wa kwanza wa Yosefu,+ wakagawiwa nchi yao kwa kura.+ Makiri,+ mzaliwa wa kwanza wa Manase na baba ya Gileadi, alikuwa amepewa nchi ya Gileadi na Bashani+ kwa sababu alikuwa mwanajeshi hodari.