Hesabu 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha Waisraeli wakaondoka na kupiga kambi kwenye jangwa tambarare la Moabu ng’ambo ya Yordani kutoka Yeriko.+ Hesabu 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hizo ndizo amri na sheria ambazo* Yehova aliwapa Waisraeli kupitia Musa katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani, huko Yeriko.+
22 Kisha Waisraeli wakaondoka na kupiga kambi kwenye jangwa tambarare la Moabu ng’ambo ya Yordani kutoka Yeriko.+
13 Hizo ndizo amri na sheria ambazo* Yehova aliwapa Waisraeli kupitia Musa katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani, huko Yeriko.+