Yoshua 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ni lazima akae ndani ya jiji hilo mpaka kesi yake itakaposikilizwa mbele ya kusanyiko,+ naye atabaki humo mpaka kuhani mkuu+ anayehudumu wakati huo atakapokufa. Kisha muuaji huyo anaweza kurudi nyumbani kwake katika jiji alilokimbia.’”+
6 Ni lazima akae ndani ya jiji hilo mpaka kesi yake itakaposikilizwa mbele ya kusanyiko,+ naye atabaki humo mpaka kuhani mkuu+ anayehudumu wakati huo atakapokufa. Kisha muuaji huyo anaweza kurudi nyumbani kwake katika jiji alilokimbia.’”+