Hesabu 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Majiji hayo yatakuwa mahali penu pa kukimbilia kutoka kwa mtu anayelipiza kisasi cha damu,+ ili muuaji asiuawe kabla ya kesi yake kusikilizwa mbele ya kusanyiko.+ Hesabu 35:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 basi watu wanapaswa kuhukumu kati ya muuaji na mtu anayelipiza kisasi cha damu, kwa kufuata sheria hizo.+
12 Majiji hayo yatakuwa mahali penu pa kukimbilia kutoka kwa mtu anayelipiza kisasi cha damu,+ ili muuaji asiuawe kabla ya kesi yake kusikilizwa mbele ya kusanyiko.+
24 basi watu wanapaswa kuhukumu kati ya muuaji na mtu anayelipiza kisasi cha damu, kwa kufuata sheria hizo.+