Hesabu 4:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 walikuwa na umri wa miaka 30 hadi miaka 50, na wote waligawiwa kazi ya kutumikia katika hema la mkutano na kubeba mizigo ya hema hilo.+ Hesabu 8:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini baada ya umri wa miaka 50 atastaafu, hataendelea na utumishi huo. 26 Anaweza kuwasaidia ndugu zake wanaotumikia katika hema la mkutano, lakini hapaswi kupewa kazi humo. Hivyo ndivyo utakavyofanya kuhusu Walawi na majukumu yao.”+
47 walikuwa na umri wa miaka 30 hadi miaka 50, na wote waligawiwa kazi ya kutumikia katika hema la mkutano na kubeba mizigo ya hema hilo.+
25 Lakini baada ya umri wa miaka 50 atastaafu, hataendelea na utumishi huo. 26 Anaweza kuwasaidia ndugu zake wanaotumikia katika hema la mkutano, lakini hapaswi kupewa kazi humo. Hivyo ndivyo utakavyofanya kuhusu Walawi na majukumu yao.”+