27 Familia ya Waamramu, familia ya Waishari, familia ya Wahebroni, na familia ya Wauzieli zilitokana na Kohathi. Hizo ndizo zilizokuwa familia za Wakohathi.+ 28 Wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 8,600; jukumu lao lilikuwa kutunza mahali patakatifu.+