34 Kisha Musa na Haruni na wakuu+ wa Israeli wakawaandikisha wana wa Kohathi+ kulingana na familia zao na ukoo wao, 35 wote wenye umri wa miaka 30 hadi 50 walio katika kikundi kilichogawiwa kutumikia katika hema la mkutano.+ 36 Wote walioandikishwa kulingana na familia zao walikuwa 2,750.+