33 Akapata mimba tena na kuzaa mwana, kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza, kwa maana sikupendwa, kwa hiyo amenipa huyu pia.” Basi akampa jina Simeoni.*+
12 Kabila la Simeoni litapiga kambi kando yake; mkuu wa wana wa Simeoni ni Shelumieli+ mwana wa Zurishadai. 13 Wale walioandikishwa katika jeshi lake ni watu 59,300.+