Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Ikiwa ana hatia katika jambo lolote kati ya mambo hayo, basi ni lazima aungame+ dhambi aliyotenda.

  • Yoshua 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha Yoshua akamwambia Akani: “Tafadhali mwanangu, mheshimu Yehova Mungu wa Israeli na uungame kwake. Tafadhali niambie jambo ulilofanya. Usinifiche chochote.”

  • Yakobo 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo ungameni waziwazi dhambi zenu+ kwa mtu na mwenzake na kusali kwa ajili ya mtu na mwenzake, ili mponywe. Dua ya mtu mwadilifu ina nguvu nyingi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki